NAHREEL NA AIKA (NAVYKENZO) WAPATA MTOTO WA KIUME....WAMPATIA JINA "GOLD" - MUKAMAFUNNY BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 10, 2017

NAHREEL NA AIKA (NAVYKENZO) WAPATA MTOTO WA KIUME....WAMPATIA JINA "GOLD"

Wasanii wanaounda kundi la muziki la Navykenzo wamepata mtoto wa kiume na kumpa jina Gold. Tukio hilo la historia limetokea jana Jumamosi ambapo pia kwa Tanzania ilikuwa siku ya maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru.

Navykenzo inayoundwa na wasanii wawili Aika &Nahreel ni kundi ambalo limedumu kwenye gemu ya bongo fleva huku pia uhusiano wa wawili hao ukionekana kudumu siku hadi siku mpaka hapo jana Mungu alipowatunuku mtoto wa kiume.

Wawili hao wamethibitisha ujio wa Gold kupitia kurasa zao za Instagram huku wakionekana na furaha ya aina yake.

#Tunawapongeza Navykenzo kwa kupata mtoto wa kiume....na tunamtakia Gold afya njema.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages