
Baada ya hivi karibuni kufanya vizuri na ngoma ya Upo Hapo ambayo yupo yeye, A.Y na Fid Q, Hamisi Mwinjuma ukipenda muite Mwana FA au Binamu ameachia video yake mpya ambapo katika wimbo huo amemshirikisha mwanadada, Maua Sama.
Tazama video ya wimbo huo hapa chini.
Tazama video ya wimbo huo hapa chini.
No comments:
Post a Comment