Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka huu wa 2017, mwaka ambao kwa Diamond Platinumz a.k.a Chibu Dangote umeonesha mafanikio makubwa sana ikiwemo kufanya kolabo na wasanii mbalimbali wa kimataifa.
Ijumaa ya leo Diamond Platinumz ameamua kushea siri kubwa ambayo imekuwa ikimpatia mafanikio yaliyomfanya yeye kutambulika kitaifa na kimataifa kupitia ngoma zake kali hali kadhalika na biashara zake.
Diamond ameandika ujumbe mzito huku akiwasisitiza vijana kutokata tamaa na kuziishi ndoto zao.
"Ili ufanikiwe ni lazima udharirike kwanza.....maisha ndio yako hivyo...amka sasa ukawaonyeshe" aliandika Diamond.
No comments:
Post a Comment