Ruhusa hiyo imekuja baada ya kikao kizito cha majadiliano baina ya mataifa hayo ya peninsula kilichofanyika jana mjini Seoul.
Kizuizi kilichowekwa miaka miwili iliyopita baina ya mataifa hayo mawili cha wanachi kutembeleana na kuwasiliana kimeondolewa rasmi jana Jumanne.
Kuhusu ujumbe wa Olimpiki ya majira ya baridi. Korea Kaskazini imeruhusiwa kupeleka wachezaji, viongozi wa timu na mashabiki kwa ajili ya mashindano.
#CRI-Swahili
No comments:
Post a Comment