Jioni ya January 22 2017 kwenye mitandao ya kijamii kulizagaa taarifa kutokea kwenye ukurasa wa Instagram wa Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ikionekana anakikosoa Chama chake cha CCM.
Ridhiwani amekanusha usiku huu kwa kusema ukurasa wake huo ulidukuliwa na kwamba sio yeye aliandika maneno mliyoyaona kuikosoa CCM.
>>>>Bofya hapa chini kumtazama
No comments:
Post a Comment