BREAKING NEWS:MWANASHERIA MKUU AJIUZULU NCHINI KENYA......RAIS UHURU KENYATA APOKEA KWA MASIKITIKO TAARIFA HIYO - MUKAMAFUNNY BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 13, 2018

BREAKING NEWS:MWANASHERIA MKUU AJIUZULU NCHINI KENYA......RAIS UHURU KENYATA APOKEA KWA MASIKITIKO TAARIFA HIYO


 Mwanasheria mkuu wa Kenya Professa Githu Muigai

Mwanasheria mkuu wa Kenya Profesa Githu Muigai amejiuzulu baada ya kuhudumu kwa miaka sita na nusu.

Rais Uhuru Kenyatta amemshukuru Profesa Githu kwa huduma zake na sasa jaji Paul Kihara Kariuki atachukua mahala pake.

''Nimepokea kwa majuto uamuzi wa mwanasheria mkuu Githu Muigai . Namshukuru kwa huduma yake katika kipindi cha miaka sita na nusu. Nimemteua jaji Paul Kiharara Kariuk''i , Rais Uhuru Kenyatta alichapisha katika mtandao wake wa Twitter.


#BBC Swahili

Kwa maoni na ushauri tuandikie kupitia mukamafunnyblog95@gmail.com au tuma ujumbe mfupi kwenda namba +255 (0) 768548171. Mukamafunny Blog>>"Habari na Burudani''

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages