RAIS MAGUFULI ALIVYOONDOKA UGANDA BAADA YA KUHUDHURIA KIKAO CHA WAKUU WA NCHI ZA EAC - MUKAMAFUNNY BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 24, 2018

RAIS MAGUFULI ALIVYOONDOKA UGANDA BAADA YA KUHUDHURIA KIKAO CHA WAKUU WA NCHI ZA EAC


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa ndege wa Entebe mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ambao ulimalizika hapo jana jijini Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na viongozi mbalimbali wa Kiserikali na Kijeshi kutoka Uganda kabla ya kurejea nchini.

PICHA NA IKULU


Kwa maoni na ushauri tuandikie kupitia mukamafunnyblog95@gmail.com au tuma ujumbe mfupi kwenda namba +255 (0) 768548171. Mukamafunny Blog>>"Habari na Burudani''

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages