Balozi wa Baba Mtakatifu nchini Tanzania anayofuraha kutangaza kwamba Baba Mtakatifu Francisko amemteua Mheshimiwa Padri Beatus Christian URASSA, wa shirika la ALCP/OSS kuwa Askofu wa Jimbo la Sumbawanga.
Hadi wakati wa uteuzi wake Askofu Mteule Beatus Urassa alikuwa akihudumu katika Parokia ya Eslarn, Jimbo la Regensburg, Ujerumani.
Imetolewa na,
Fr. Raymomd Saba
KATIBU MKUU
BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA
19 Aprili, 2018.
No comments:
Post a Comment