Baada ya siku ya Jumanne wiki hii binti mmoja kujitokeza kwa RC Makonda akidai yeye ni mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kuomba kuonganisha na familia ya mzee huyo, Jumatano hii Mama wa binti huyo amejitokeza kwa RC Makonda na kuzungumzia kwanini mtoto wake huyo amejitokeza sasa na kueleza kwamba baba yake ni mzee Lowassa. Mapema jana mtoto mkubwa wa Edward Lowassa aitwaye, Fred alisema hao kama familia hawatambui kama wanandugu kama huyo.
Post Top Ad
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment