BREAKING NEWS: LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO HUKO SEKENKE, DREVA NA MSAIDIZI WAKE WANADAIWA KUPOTEZA MAISHA...VIDEO IKO HAPA - MUKAMAFUNNY BLOG

Breaking

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 23, 2018

BREAKING NEWS: LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO HUKO SEKENKE, DREVA NA MSAIDIZI WAKE WANADAIWA KUPOTEZA MAISHA...VIDEO IKO HAPA

Taarifa za kusikitisha zinaeleza kuwa gari la kusafirishia mafuta limepinduka  na kuungua moto maeneo ya mlima Sekenke mkoani Singida. Gari hilo lenye namba za usajili T.167 BQT pamoja na tela lake lenye namba T.960 ALX lilikuwa katika barabara kuu ya Singida/Nzega ambapo liliacha njia na kupinduka na hatimaye kuungua moto.


Tukio hili la kusikitisha limetokea leo majira ya saa nne asubuhi ambapo dreva wa gari hilo pamoja na tingo wake wanadaiwa kupoteza maisha. 



Mukamafunny Blog imepata habari hizi kwa ufupi na tunasubiri taarifa kamili kutoka Jeshi la polisi ambao watakuwa na maelezo zaidi. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages